Search

Sunday, May 26, 2019

Jinsi ya kuset simu kama modemu na Kompyuta yako

Ifanye simu yako kuwa modem kwenye Kompyuta yako ili uweze kuaccess Internet.

Zipo njia mbalimbali zinkwezesha kiufanya simu yako kuwa Kama modem ambazo hutegemea Sana uwezo wasimu kuscce mtandandao.

1.Njia ya kwanza ni njia ya (USB tathering)

2.Njia ya pili ni njia ya (WiFi/ bluetooth tathering.)

Tukianza na njia ya kwanza ambayo ni njia ya kwanza ambayo ni USB tathering ambayo huhitaji ways maalum wa USB ambao huunganishwa na (simu-komoyuta)

Hii huusisha program ya setting katika simu yako ya Android kwa kuclick sehemu ya USB tathering na ikishafunguka click USB tathering ili kukonect.

Baada ya Happ check kwenye Kompyuta yako Kama tayari imeshaunganishwa,Napo utakuwa umefanikiwa kuunganisha.

Njia ya pili ambayo ni (WiFi/Bluetooth tathering hii huusisha program ya simu yako ya Android kwa kuclick sehemu ya USB tathering na ikishafunguka click sehemu ya WiFi Connect .

Baada ya hapo kampuni yako huhitaji password za kifaa kinacho connect WiFi ili kumaliza connection zote ili kuanza kutumia Mara moja.

Sorry usisahau kushare
                         

                  By 
Luckghin/Tmb Luckasau.

Tuesday, May 21, 2019

Unlock forgotten password

Fahamu njia mbalimbali zinazotoa karibu 
Kuondoa nywila ulosahau katika simu ya Android.

Uondoaji was nywila hutegemea Sana toleo la Android
Kwani baadhi ya matoleo ya Android huwa vigumu Sana
Kuondoa nywila ulosahau.

Kuna njia mbili zinazotoa karibu kuondoa nywila ulosahau
Njia hizoni
              (a)njia ya Kompyuta 
              (b)njia ya kutumia simu yenyewe kwa 
                  baadhi ya program endeshi za Android.
                       
                                     By 
                         Luckghin/Tmb Luckasau.

Hack au soma sms za mwenzio bila kujua

Fahamu jinsi ya kusoma sms zilizoko kwenye simu ya mwenzio bila yeye kujua kwa kufuata baadhi ya hints muhimu Kama zifuatazo:

Zipo program ambazo hutumika katika kufanikisha mchongo huu mzuri na mbaya kwa baadhi ya watu.

Program ambazo tunaenda kutumia ni program ya copy9

Hatua ya kwanza download application yenyewe copy9 na install Kama inavyotakiwa.

Hatua ya pili fungua application click sehemu iloandikwa register na baadae fungua account mpya itakayotumika kwenye simu inayochunguzwa.

Hatua ya tatu weka tiki sehemu iliyo andikwa privacy pia kwenye  my choice baadae click sehemu iloandikwa allow.Utasubiri configuration na pia hide(Ficha) icon ya application isionekane.

Hatua ya nne tumia simu nyingine Kisha brows neno my copy9 Kisha login kwa kutumia account mpya ulounda.

Hatua ya tano itakuletea menyu zote za simu inayohackiwa Kama jina la simu,calls history na GPS history.Na utachagua unachokihitaji kwenye my dashboard. Hivyo utakuwa umefanikiwa Ahsante.
            Sorry usisahau kushare.
By
       Luckghin/Tmb Luckasau.